• Home
  • About
  • Contact

Entrepreneurial Marketing Business.

  • Home-icon
  • Main
  • _Business!
  • _Finance!
  • _Market!
  • Customer!
  • _Customer Care!
  • _Customer Service!
  • Documentary
  • _Travel!
  • _Success!
  • Coming Soon!

Ticker

6/recent/ticker-posts
HomeUfanisiJinsi Ya Kuuongeza Ufanisi na Ukuaji Wako Kimaisha Na Mafanikio. (2)

Jinsi Ya Kuuongeza Ufanisi na Ukuaji Wako Kimaisha Na Mafanikio. (2)

Muzoh December 30, 2020

26. Jifunze EXCEL kwa kiwango cha hali ya juu, huu ni ustadi usiofuatiliwa na wengi lakini bado ni ujuzi wenye nguvu zaidi.


27. Boresha ujuzi wako wa uongozi kwa kuongeza ujuzi wa mawasiliano na ujuzi wa mazungumzo.


28. Jifunze Ku-programu, Kuunda ama Kutengeneza Tovuti na Ku-dizaini picha na video (Ubunifu).


29. Fuatilia kitu chochote cha kupendeza kwako kama kupiga gitaa, kupiga picha, kublogi. Itaharakisha na kurahisisha kazi zako.


30. Kuwa msikilizaji mzuri pia jitahidi kukutana na watu wapya.


31. Kuwa na Mtazamo endelevu wa kujiboresha  na kujifunza katika maisha yako yote.


32. Kuwa na nidhamu.


33. Kupata mda wa Kutuliza akili na mwili wako kila siku.


34. Hudhuria semina nyingi na mafunzo.


3.5 Pata kiwango cha juu katika masomo yako ya kitaaluma.


36. Jipende na ujali afya yako.


37. Tumia muda kidogo kwenye mtandao.


38. Tengeneza taswira ya malengo yako.


39. Tumia wakati wako na watu wabunifu na wenye mambo na ndoto kubwa.


40. Fanya kazi za kujitolea.


41. Saidia watu.


42. Kuwa mdadisi na uliza maswali kila wakati.


43. Jifunze kujilinda/kupigana. Itasaidia kukuongoza kuwa mtu mwenye nguvu na kuwa na mawazo chanya.


44. Amka mapema asubuhi na kimbia kilometa 1.


45. Kamwe usiahirishe kumaliza kazi yako.


46. Njia moja ya haraka zaidi ya kujifunza kitu kipya na kukifanya, ni kuwafundisha wengine jinsi ya kukifanya. Kwa hivyo shiriki kile unachojifunza na timu yako, meneja wako, au wafanyikazi wenzako.


47. Jaribu kujiweka kama unajiamini mda wote na unaweza kushughulikia kila kitu. Igiza mpaka uifanye kweli.


48. Kuwa chanya na jifunze kutokana na makosa yako.


49. Kuwa na tamaa, fikiria makubwa na ugawanye kazi zako katika sehemu ndogo ndogo.


50. Tengeneza mipango ya miaka 10 ijayo. Je! Unataka kujiona wapi baada ya miaka 10? Unapokuwa na mipango, utajua ni nini unapaswa kufanya ili kufikia mafanikio makubwa.


Daima kumbuka kuwa Maisha ni 10% kinachotokea kwako na 90% jinsi unavyo kipokea na kukishughulikia. 
- Charles R. Swindoll
Tags:
mafanikio maisha Ufanisi
  • Facebook
  • Twitter
  • Newer

  • Older

Muzoh

Posted by: Muzoh

After school, i thought of expressing myself since am free of studies. But hell no! school is everywhere, am still learning. Am humble, down to earth person and a fun to be around Leo.

You may like these posts

Post a Comment

0 Comments

Facebook

Popular Posts

  • 8 NON-WRITTEN RULES. BE CIVILIZED!
    8 NON-WRITTEN RULES. BE CIVILIZED!
    The world we live in as of now, people tend to do things without consideration and much thoughts. Perhaps we are among those people that for...
  • The Funny Story of One American and African Man.
    The Funny Story of One American and African Man.
    An American man walked into a restaurant in London. As soon as he entered, he noticed an African man sitting in the corner. So he walked ove...
  • Did You Know These Things Before?! (No.2)
    Did You Know These Things Before?! (No.2)
    Continue with the second part of the research... Women spend almost a year of their lives deciding what to wear, mmmmhh! Humans spend a...

Social Plugin

Get Rich Effortless!!!

  • Adf.ly Money
  • Get More Earns!
  • Make Money as a Publisher
  • VigLink Money
  • Make Profits OR Be Famous!
  • Canva Site Designs!

Support By Donating ($1).

GET BLUEHOST!

Menu Footer Widget

  • Home
  • About
  • Contact Us
Edited By Him | Used By Entrepreneur